Niamey

Article on other languages:

del.icio.us del.icio.us
Digg Digg
Furl Furl
Reddit Reddit
Rojo Rojo
Add to OnlyWire
Niamey wakati wa usiku

Niamey ni mji mkuu wa Niger. Iko mwambaoni wa mto Niger. Ikiwa na wakazi 674,950 (sensa ya 2002) Niamey ni mji mkubwa wa Niger na kitovu cha kiutawala, kiuchumi na kiutamaduni.

Kilimo katika mazingira yya mji kina karanga kama mazao ya sokoni; kuna viwanda vya matofali, saruji na nguo.

Niamey jinsi inavyoonekana kutoka angani

Niamey ilikuwa kijiji kikaanza kukua tangu Ufaransa ulijenga hapa kituo cha kijeshi tangu miaka ya 1890 BK. Mwaka 1926 ikawa mji mkuu wa koloni ya Niger. Mwaka 1930 ilikuwa na wakazi 3,000, wakati wa uhuru mwaka 1960 na wakazi 30,000 na mnamo 1980 na wakazi 250,000.


Viungo vya Nje

More about Niamey: niamey niger, flight niamey, niamey vacation, hotel niamey niger, niamey niger vacation, car niamey niger rental, car niamey rental, niamey twice, maidukiya niamey niger,

This article is from Wikipedia. All text is available under the terms of the GNU Free Documentation License.